VIONGOZI WANAO HAMASISHA KILIMO CHA BANGI KUCHUKULIWA HATUA
VIONGOZI
wanao pinga utekerezaji wa miradi ya mendeleo ya wananchi katika maeneo yao huku wakihamasisha
wananchi kuendeleza kilimo cha zao halamu la bangi wilayani Tarime mkoani mara kuchukuliwa
hatua kali za kisheria
kauli hyo imetolewa na kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa mwaka 2017 AMOUR AHAMAD AMOUR wilayani Tarime
Jumla ya
magunia 35 ya bangi kavu yameteketezwa kwa moto katika Halmashauri ya mji wa
Tarime
Mwisho
Maoni
Chapisha Maoni