Machapisho

VIONGOZI WANAO HAMASISHA KILIMO CHA BANGI KUCHUKULIWA HATUA

VIONGOZI wanao pinga utekerezaji wa miradi ya mendeleo ya wananchi katika maeneo yao huku wakihamasisha wananchi kuendeleza kilimo cha zao halamu la bangi wilayani Tarime mkoani mara kuchukuliwa hatua kali za kisheria kauli hyo imetolewa na kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru kitaifa mwaka 2017 AMOUR AHAMAD AMOUR wilayani Tarime  Pia kiongozi wa huyo wa mbio za mwenge wa uhuru   amewapongeza wajasilia mali wawili Kisangure Thomas na Fausten Hamisi walio dhubutu na kuamua kuungana pamoja katika kuanzisha mradi wa Hoteli ya kisasa ya kifa best point Hotel ambayo   imetoa ajira kwa   watu zaidi ya 40 wilayani Tar ime Jumla ya magunia 35 ya bangi kavu yameteketezwa kwa moto katika Halmashauri ya mji wa Tarime Mwisho

MBUNGE ESTER MATIKO AKEMEA WATUMISHI TARIME

Mbunge wa Jimbo la Tarime mjini Ester Nicolaus Matiko amesema kwamba ,Halmashauri haita mvumilia mtumishi yeyote anae tumia  madaraka yake vibaya au kutumia  fedha za umma vibaya

WATUMISHI 4 WATIWA ADABU TARIME

BARAZA la madiwani wa Halmashauri ya mji wa Tarime mkoani mara  lawatia adamu watumishi wanne wa halmashauri hiyo akiwemo afisa utumishi mwandamizi  kushushwa ngazi ya mshahara.  Maamuzi hayo yamefikiwa katika kikao cha baraza la madiwani kilicho fanyika wilayani Tarime jana tarehe 16/08 /2017 Akizungumza katika kikao hicho cha baraza  mwenyekiti wa Halmashauri ya mji wa Tarime Hamisi Nyanswi amewataja watumishi hao  na kueleza maamuzi yaliyo fikiwa na baraza hilo

GODFREY MASUBO DIWANI WA KATA YA BOMANI -TARIME

MAREMA SOLO MWENYEKITI WA MTAA WA BOMANI -TARIME

NAFATARI PHILIPO AKYOO -MMILIKI WA NYUMBA ILIYO UNGUA

NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO TARIME NYUMBA pamoja na vyombo vya ndani vya Naftari Philipo Akyoo mkazi wa mtaa wa bomani katika Halmashauri ya mji wa Tarime mkoani mara imeteketea kwa moto unaodhaniwa kuwa chanzo chake kimetokana na shoti ya umeme wa Tanesco  akiongea katika eneo la tukio la nyumba kuungua moto,mmmiliki wa nyumba hiyo Naftari Philipo Akyoo anasema kabla ya siku nne kutokea kwa tukio hili,alitoa taarifa ya tatizo la umeme wa nyumba hiyo katika ofisi ya Tanesco wilaya yaTarime na wakafika kuona tatizo, lakini kabla ya kuja kutatua tatizo hili ,nyumba ikawa Tayari   imeungua nao baadhi ya mashuhuda wa tukio hili ambao ni mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa bomani Marema Solo, na diwani wa kata ya bomani Godfrey Masubo,wao wakaelekeza   lawama zao kwa uongozi wa Halmashauri ya mji wa Tzarime kwa kushindwa kununua   gari la zima moto wilaya ya Tarime inao askari wa jeshi la zima moto lakini jeshi hili halina gari la kuzima moto mwisho ...