WATUMISHI 4 WATIWA ADABU TARIME
BARAZA la madiwani wa Halmashauri ya mji wa Tarime mkoani mara lawatia adamu watumishi wanne wa halmashauri hiyo akiwemo afisa utumishi mwandamizi kushushwa ngazi ya mshahara.
Maamuzi hayo yamefikiwa katika kikao cha baraza la madiwani kilicho fanyika wilayani Tarime jana tarehe 16/08 /2017
Akizungumza katika kikao hicho cha baraza mwenyekiti wa Halmashauri ya mji wa Tarime Hamisi Nyanswi amewataja watumishi hao na kueleza maamuzi yaliyo fikiwa na baraza hilo
Maamuzi hayo yamefikiwa katika kikao cha baraza la madiwani kilicho fanyika wilayani Tarime jana tarehe 16/08 /2017
Akizungumza katika kikao hicho cha baraza mwenyekiti wa Halmashauri ya mji wa Tarime Hamisi Nyanswi amewataja watumishi hao na kueleza maamuzi yaliyo fikiwa na baraza hilo
Maoni
Chapisha Maoni