WACHIMBAJI WAIOMBA SERIKALI MKOPO NA VIFAA
NA JUMANNE NTONO - TARIME MARA
Wachimbaji wadogowadogo wanao fanya shughuri zao katika maeneo yanayo zunguka mgodi wa kuchimba madini ya dhahabu barrick north mara uliopo nyamongo wilayani tarime mkoa wa mara wanaiomba serikali iwasaidie vifaa vya kujikinga na madhara ya zebaki [mercury} wakati wanapo wosha dhahabu
wakiongea na wandishi wa habari walipo watembelea katika maeneo yao ya kazi. wachimbaji hao wameeleza kwamba kwa sasa wanaosha dhahabu bila kinga yoyote
Na pia wameeleza kwamba wengi wao hawajui madhara ya zebaki kutokana na kuto kuwa na elimu ya kutosha kuhusu madhara hayo' kwa hiyo wenaiomba serikali iwasaidie vifaa vya kujikinga na madhara hayo ikiwa ni pamoja na mipira na viatu vigumu aina ya buti
kutokana na maomba hayo mkuu wa wilaya ya tarime Bw John Henjewere ameeleza kwamba serikali ipo tayari kuwasaidia wachimbaji wadogo wadogo watakao kuwa wamesajiliwa tu. kwa hiyo amewahasa Wachimbaji hao wajiunge kwenye vikundi na wavisajiri.
Wachimbaji wadogowadogo wanao fanya shughuri zao katika maeneo yanayo zunguka mgodi wa kuchimba madini ya dhahabu barrick north mara uliopo nyamongo wilayani tarime mkoa wa mara wanaiomba serikali iwasaidie vifaa vya kujikinga na madhara ya zebaki [mercury} wakati wanapo wosha dhahabu
wakiongea na wandishi wa habari walipo watembelea katika maeneo yao ya kazi. wachimbaji hao wameeleza kwamba kwa sasa wanaosha dhahabu bila kinga yoyote
Na pia wameeleza kwamba wengi wao hawajui madhara ya zebaki kutokana na kuto kuwa na elimu ya kutosha kuhusu madhara hayo' kwa hiyo wenaiomba serikali iwasaidie vifaa vya kujikinga na madhara hayo ikiwa ni pamoja na mipira na viatu vigumu aina ya buti
kutokana na maomba hayo mkuu wa wilaya ya tarime Bw John Henjewere ameeleza kwamba serikali ipo tayari kuwasaidia wachimbaji wadogo wadogo watakao kuwa wamesajiliwa tu. kwa hiyo amewahasa Wachimbaji hao wajiunge kwenye vikundi na wavisajiri.
Maoni
Chapisha Maoni