JESHI LA POLISI LATAKIWA KUWATENDEA HAKI WAANGA WA LIO TENDEWA VITENDO VYA UKATIRI WA KIJINSIA
ASKARI POLISI WAKIWA KWENYE MAANDAMANO YA KUPINGA VITENDO VYA UKATIRI WA KIJINSIA -TARIME MARA |
Ikiwa ni hitimisho la siku 16 za maadhimisho ya kupinga
ukatili wa kijinsia hapa Tanzania jeshi la polisi wametakiwa kuepuka lugha
chafu ,kejeli,na vishawishi vya rushwa kwa waanga au walio tendewa vitendo vya
ukatili wa kijinsia
Hayo yameelezwa na askofu wa kanisa la anglikana dayosisi ya
Tarime DR MWITA AKIRI kwenye ufunguzi wa ofisi ya dawati la jinsia na watoto la
kituo cha polisi wilaya ya tarime mkoani
mara
DR MWITA AKIRI
amewataka askali polisi wote watakao Kuwa katika ofisi ya dawati la jinsia na
watoto wawe watu wa msaaa kwa waanga walio tendewa vitendo vya ukatiri wa kijinsia ili wajenge imani kwa
jamii kwamba dawati lililo anzishwa ni msaada kwa jamii siyo dawati la
kuikatisha jamii tama ya kupata haki yao
Na amewataka polisi waepuke
lugha chafu,kejeli,na vishawishi vya rushwa toka kwa waanga wa vitendo
vya ukatiri kwa lengo la kupotosha haki zao
Kwa upande wake kaimu kamanda wa jeshi la polisi kanda
maalum ya tarime na
rorya SSP
SEBASTIANI ZAKARIA amewataka wananchi viongozi wa chama na
serikali na wadau wote ambao
hawapendezwi na vitendo vya ukatiri wa kijinsia washirikiane na jeshi la polisi
kuakikisha kama siyo kupunguza basi kumaliza kabisa vitendo vya ukatiri na
unyanyansaji wa kijinsia katika wilaya ya tarime na Tanzania kwa ujumla
Mapema akisoma lisara kwa mgeni lasmi WP
CHAUSIKU alieleza lengo la
kuanzishwa kwa ofisi ya dawati la
vitendo vya ukatiri wa kijinsia kwa wanawake na watoto
Mpaka sasa zaidi ya
watoto wa kike 300 walio kuwa
watarajiwa kukeketwa mwezi huu wa 12
wamekimbilia katika kituo cha tohara{ ukeketaji} mbadara cha kanisa
la romani kathoriki cha masanga
kilichopo wilayani tarime.
…………………………………….
mwisho ……………………………………….
Maoni
Chapisha Maoni