NA JUMANNE NTONO – MUGUMU SERENGETI MARA 0786 992 552 / 0763 992 552 / 0715 992 552 Wakati zoezi la kukusanya maoni ya katiba likiendelea mkoani mara wananchi wa wilaya ya Serengeti mkoani humo wameaswa kujitokeza kwa wingi ili kutoa maoni yao Wito huo umetolewa na mwenyekiti wa vijana wa chama cha demokrasia na maendeleo chadema mkoa wa mara bw chacha heche wakati wa kufungua ofisi ya tawi jipya la chadema katika stendi yaw mugumu Bw chacha amewataka wananchi hususani vijana waakikishe wanajitokeza kwa wingi katika zoezi la kukusanya maoni kwa wananchi ili watoe mawazo yawo ya msingi hususani tatizo la ardhi ambayo imekuwa na migogoro mikubwa hapa nchini na kusababisha baadhi ya wananchi kuonekana kana kwamba ni wakimbizi katika nchi yao Pia bw chacha ameeleza kwamba jukumu la kuleta maendeleo katika nchi hii nila...
Machapisho maarufu kutoka blogu hii
WACHIMBAJI WAIOMBA SERIKALI MKOPO NA VIFAA
NA JUMANNE NTONO - TARIME MARA Wachimbaji wadogowadogo wanao fanya shughuri zao katika maeneo yanayo zunguka mgodi wa kuchimba madini ya dhahabu barrick north mara uliopo nyamongo wilayani tarime mkoa wa mara wanaiomba serikali iwasaidie vifaa vya kujikinga na madhara ya zebaki [mercury} wakati wanapo wosha dhahabu wakiongea na wandishi wa habari walipo watembelea katika maeneo yao ya kazi. wachimbaji hao wameeleza kwamba kwa sasa wanaosha dhahabu bila kinga yoyote Na pia wameeleza kwamba wengi wao hawajui madhara ya zebaki kutokana na kuto kuwa na elimu ya kutosha kuhusu madhara hayo' kwa hiyo wenaiomba serikali iwasaidie vifaa vya kujikinga na madhara hayo ikiwa ni pamoja na mipira na viatu vigumu aina ya buti kutokana na maomba hayo mkuu wa wilaya ya tarime Bw John Henjewere ameeleza kwamba serikali ipo tayari kuwasaidia wachimbaji wadogo wadogo watakao kuwa wamesajiliwa tu. kwa hiyo amewahasa Wachimbaji hao wajiunge kwenye vikundi na wavisajiri...
NEW LIFE CHRIST WAENEZA INJIRI MARA
Ili kupunguza m ambukizi mapya ya virusi vya ukimwi wilayani Rorya mkoani Mara wananchi wametakiwa kuepukana na mira potofu na kumrudia mungu Wito huo umetolewa na mwenyekiti wa umoja wa makanisa ya kikristo mkoa wa dar es salaam mchungaji HALSON MUMANYI kwenye hitimisho la mahubiri ya siku nane yaliyo endeshwa na shiriks la NEW LIFE CHRIST katika wilaya ya Tarime na Rorya mkoani Mara Mwenyekiti Halson ameeleza kwamba wilaya ya Rorya inamaambukizi makubwa ya virusi vya ukimwi kutoka na wananchi wengi wa wilaya hiyo kuto mrudia mungu Pamoja na watu kumrudia mungu mwenyekiti huyo amewataka wananchi wa wilaya ya Rorya na Tarime waache tabia ya kurithi wake wa marehemu { wajane } kwa madai kwamba wanadumisha mira, kwa kuwa mira hiyo imepitwa na wakati na haina tija tena kwa jamii Nao baadhi ya wananchi na viongozi mbalimbali walio hudhuria mahubiri hayo wamesema kw...
Maoni
Chapisha Maoni