ZAIDI YA MBWA ELFU 15 WAMECHANJWA TARIME
Na Jumanne Ntono -Tarime Mara
28/09/2014
Ili kupunguza au kutokomeza kabisa ugonjwa wa kichaa cha mbwa wilayani tarime mkoani mara Zaidi ya mbwa elfu 15,000 wilayani humo  wamepata chanjo ya  kuzuia kichaa cha mbwa  kwa mwaka 2014
HT vo – Jumanne Ntono – mara
Akiongea katika maadhimisho ya siku ya kichaa cha mbwa duniani ambayo kiwilaya yamefanyika katika kata ya matongo kaimu dakitali wa mifugo wa wilaya  ya tarime Shukumu Tuke Olemoringata  ameeleza lengo la chanjo hiyo na kusesema kwamba kuanzia mwezi wa tatu mpaka siku ya kilele wamechanja mbwa na paka zaidi ya elfu 16,000 sawa na asilimia 90
Inset- Shukumu Tuke Olemoringata –kaimu daktari  wa mifugo wa wilaya
Pia dokita Shukumu akatoa wito kwa wafugaji wa wanyama hao
Inset 2 - Shukumu Tuke Olemoringata  - kaimu daktari  wa mifugo wa wilaya
Nao baadhi ya wafugaji wa mbwa na paka walio leta mifugo yao kuchanjwa wameipongeza serikali kwa kuchanja mifugo hiyo na kueleza kwamba kutokana na zoezi hilo wataepukana  na gharama kubwa za kuwatibu watu walio kuwa wanaumwa na mbwa wa ugonjwa wa kichaa  
VOX – Ayubu Rugoe,Grace Chacha Mare Makare - wafugaji
Idara ya mifugo na uvuvi kwa kushirikiana na Senapa ambao wamekuwa wakitoa fadha kwa ajiri ya kichaa cha mbwa wanaendelea kusisitiza chanjo ya kichaa cha mbwa katika wilaya nzima hasa katika vijiji vinavyo pakana na  hifadhi ya wanyama poli ya Serengeti

……………………………………………..Mwisho ……………………………………………………………

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

KIJIJI CHA KERENDE CHAKABIDHIWA BARABARA YA TSH MILIONI 26-TARIME

MAUAJI YAENDELEA NYAMONGO

VIONGOZI WANAO HAMASISHA KILIMO CHA BANGI KUCHUKULIWA HATUA