MKOA WA MARA WAENDELEA KUONGOZA KWA VITENDO VYA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

Na Jumanne Ntono -Tarime Mara

Pamoja na jitihada kubwa ya serikali na taasisi mbalimbali zisizo za kiserikali hapa nchini kutoa elimu ya kupinga vitendo vya ukatiri na unyanyasaji wa kijinsia katika mkoa wa mara  bado mkoa huo unaongoza kwa vitendo hivyo hapa nchini

Takwmu zilizo fanywa na ofisi ya takwimu ya taifa kuhusu vitendo vya ukatiri  unyanyasaji wa kijinsia hapa nchini mwaka 2012 hadi 2015 unaonyesha mkoa wa mara unaongoza kwa asilimia 72 ukifuatiwa na mkoa wa dododma wenye asilimia 71

HT VO -Jumanne Ntono –  - Tarime Mara

Kutokana na hali hiyo taasisi ya Nyumbani kwanza media group, iliyopo nyamongo wilayani Tarime mkaoani Mara. kwa kutambua Athari na ukubwa wa tatizo la ukatiri na unyanyasaji wa kijinsia katika mkoa Mara imefanya tamasha na maandamano Makubwa katika mji wa nyamongo na kutoa tamko la  kupinga vitendo hivyo kama anavyoeleza mwenyekiti  wa taasisi hiyo Bw Rajabu Bina na mkugenzi wa taasisi hiyo Bi Mossy Magere

Vox 2 - Rajabu Bina – mwenyekiti. Na Bi Mossy Magere mkurugenzi wa  Nyumbani kwanza Media Group

Kwa upande wake mgeni rasmi wa tamasha hilo kamanda wa polisi kanda maalum ya tarime na rorya kamishina msaidizi wa polisi  Lazaro Mambosasa ameeleza kwamba ili kukomesha vitendo vya ukatiri na unyanyasaji wa kijinsia  ni vyema wananchi wakashirikiana na jeshi la polisi katika kutoa taarifa kuhusu vitendo hivyo

Inset- Lazaro Mambosasa- ACP kanda maalum ya tarime na rorya

Vitendo vya ukatiri na unyanyasaji wa kijinsia vinavyo jitokeza mara kwa mara katika mkoa wa mara na kusababisha mkoa huo kuongoza kwa vitendo hivyo  ni vipigo kwa wanawake ndoa za utotoni na ukeketaji


………………………………….mwisho……………………………………………..
 

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

KIJIJI CHA KERENDE CHAKABIDHIWA BARABARA YA TSH MILIONI 26-TARIME

MAUAJI YAENDELEA NYAMONGO

VIONGOZI WANAO HAMASISHA KILIMO CHA BANGI KUCHUKULIWA HATUA