RADI YAUWA MMOJA RORYA WAWILI WANUSURIKA NYUMBA TATEKETEA

BI GRACE kADOGO NA REBEKA CHACHA MANUSURA WA TUKIO LA RADI

MWILI WA MAREHEMU CHACHA SABURE ALIE PIGWA NA RADI NA KUUGULIA NDANI YA NYUMBA WILAYANI RORYA MKOANI MA


RADI YAUWA MMOJA ,WAWILI WANUSURIKA,  NYUMBA  NA VYOMBO VYA NDANI VYATEKETEA Na JumanneNtono –mara
21/10/2014

Mtu mmoja ameuawa kwa kupigwa na radi huku mwili wake ,nyumba na vitu
WANANCHI WA KIJIJI CHA RANDA WILAYANI RORYA MKOANI MARA 
WAKISHUHUDIA NYUMBA ILIYO TEKETEZWA NA RADI
vyote vya ndani vikiteketea kwamoto ulio sababishwa na radi hiyo
Mtu huyo  alie julikana kwa jina la chacha sabure mwanaume mwenye umri uliokadiliwa kuwa na zaidi ya miaka 70 mkazi wa kitongoji cha masara katika kijiji cha randa wilayani rorya mkoani mara amekumbwa na mauti hayo juzi usiku tarehe 20/10/2014 baada ya kupigwa na radi akiwa amelala nyumbani kwake huku watu wawili ambao ni Grace Kadogomiaka 32 na mtoto Rebeka chacha miaka saba waliokuwemo ndani ya nyumba hiyo wakinusurika kifo,

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

KIJIJI CHA KERENDE CHAKABIDHIWA BARABARA YA TSH MILIONI 26-TARIME

MAUAJI YAENDELEA NYAMONGO

VIONGOZI WANAO HAMASISHA KILIMO CHA BANGI KUCHUKULIWA HATUA