MIAKA 40 YA KUZALIWA KWA CHAMA CHA MAPINDUZI CCM -MARA



MIAKA 40 YA CCM
NA JUMANNE NTONO –MARA
06/02/207
CHAMA cha mapinduzi CCM mkoa wa mara kimeadhimisha miaka 40 ya kuzaliwa kwa chama hicho kwa  kuwataka  wanachama kutumia maadhimisho  hayo kama njia ya kuwakemea wale wote wanao kwenda kinyume na taratibu za chama na yawakumbushe kufanya kazi  kwa vitendo kama ilivyo kauli ya Mh Rais Magufuli ya hapa kazi tu
hayo yameelezwa na mkuu wa mkoa wa mara Dr Charles Mlingwa katika maadhimisho ya miaka 40 ya kuzaliwa kwa chama cha mapinduzi ccm  ambayo kwa mkoa wa mara yamefanyika wilayani Tarime
TAARIFA YAKE, JUMANNE NTO,NKUTOKA MKOANI MARA INAFAFANUA ZAIDI
Akitoa salam za serikali katika maadhimisho ya miaka 40 ya kuzaliwa kwa CCM  mkuu wa mkoa wa mara Dr Charles Mlingwa anasema kwamba niwakati wa  wanachama wa chama cha mapinduzi kuendelea kuungana na wananchi wote kufanya kazi na  kuleta maendeleo katika,mkoa wa mara
          Inset –Dr Charles Mlingwa- Mkuu wa mkoa wa mara
Pi Dr Mlingwa akawakemea watu wanao kwamisha miradi ya maendeleo kwa wananchi  wa mkoa wa mara
          Inset – 2 Dr Charles Mlingwa- Mkuu wa mkoa wa mara
kwa upande wake mwenyekiti wa ccm mkoa wa mara ,Christopher Mwita Sanya anawataka wanachama wa ccm katika mkoa huu,kuyatumia maadhimisho haya  kwa kujenga mshikamano wa chama,kwa vitendo  
          Inset 3 Christopher  mwita sanya- mwenyekiti wa ccm mkoa wa mara
wanachama wa ccm nao wakazungumzia maadhimisho haya
          Vox -1-Beatrice Manoga – mjumbe wa baraza  la umoja wa vijana ccm mkoa wa mara
                    2-Samwel Kiboye –mwenyekiti wa ccm wilaya ya Rorya
mwisho   

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

KIJIJI CHA KERENDE CHAKABIDHIWA BARABARA YA TSH MILIONI 26-TARIME

MAUAJI YAENDELEA NYAMONGO

VIONGOZI WANAO HAMASISHA KILIMO CHA BANGI KUCHUKULIWA HATUA